.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 1 Desemba 2016

SOUTHAMPTON YAISUKUMA NJE YA KOMBE LA EFL TIMU YA ARSENAL

Timu ya Southampton imefanikiwa kutinga nusu fainali ya kombe la EFL kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1987, kufuatia kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Arsenal.

Magoli kutoka kwa Jordy Clasie ambaye ni goli lake la kwanza kwa klabu yake na la Ryan Bertrand yaliipa Southampton ushindi wa kwanza dhidi ya Arsenal katika msimu huu.

Meneja Arsene Wenger, ambaye hajawahi kushinda kombe hilo alifanya kosa la kuwapumzisha wachezaji wake 10 muhimu, kosa ambalo lilimgharimu.
                                                Jordy Clasie akiachia shuti na kufunga goli la kwanza 
                                                Ryan Bertrand akifunga goli la pili la Southampton

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni