.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 1 Desemba 2016

NDEGE ILIYOUWA WACHEZAJI WA TIMU YA BRAZIL ILIISHIWA NA MAFUTA

Mamlaka za nchi ya Colombia zimesema ushahidi unaongezeka kuhusiana na ndege iliyoanguka ikiwa na wachezaji wa timu ya Brazil kwamba ilianguka kutokana na kuishiwa na mafuta wakati ikijaribu kutua.

Mkuu wa Mamlaka ya Anga Colombia Alfredo Bocanegra uchunguzi wa awali katika eneo la tukio la ajali unaonyesha kuwa ndege hiyo iliyokuwa na watu 77 ilikuwa haina mafuta wakati ikianguka.

Ndege hiyo imeelezwa kuwa ilikuwa imezidisha dakia 20, kati ya saa nne inazopaswa kuruka angani kutokana na ujazo wake wa mafuta, kabla ya kuanguka muda mfupi baada ya rubani wake kuomba msaada.
   Rubani wa ndege hiyo Miguel Alejandro Quiroga alisikika akisema wanaomba msaada 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni