.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 12 Desemba 2016

REAL MADRID YATUA JAPAN TAYARI KWA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA

Kikosi cha Zinedine Zidane kimetua nchini Japan hii leo kikitokea Madrid tayari kwa michuano ya kombe la dunia la vilabu.

Kocha huyo Mfaransa ametaja kikosi chake cha wachezaji 23, akiwemo Cristiano Ronaldo na Karim Benzema kwa michuano hiyo.
                             Karim Benzema akiwa na Raphael Varane baada ya kutua Japan 
                Kocha Zinedine Zidane akiwa na kikosi chake baada ya kutua Japan hii leo 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni