.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 10 Desemba 2016

TETEMEKO LA ARDHI INDONESIA LAACHA WATU 43,000 BILA MAKAZI

Idadi ya watu waliojikuta wakiwa hawana makazi kufuatia kimbunga kikali kilichoikumba Indonesia siku ya jumatano, imeongezeka na kufikia watu 43,000.

Wakala wa Taifa wa Kukabiliana na Majanga, umesema ukubwa wa tatizo umeanza kubainika kwa sasa wakati timu ya uokoaji ikifanikiwa kuyafikia maeneo yaliyoathirika.

Watu wapatao 100 wamekufa na wengine wengi wamejeruhiwa baada ya kutokea tetemeko lenye ukubwa wa alama 6.5 katika mkoa wa Aceh.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni