

Balozi wa Japani nchini Tanzania Masaharu Yoshinda (kushoto) na Mwakilishi Mkazi Mkuu wa Shirika la kimataifa la Japani (JICA) Bw.Toshio Nagase,(kulia) wakimsikiliza Waziri wa Fedha na Mipango Mh.Dkt.Philipo Mpango (mb) (hayupo pichani) kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayofadhiliwa na Japani katika sekta ya miundo mbinu zikiwemo barabara nchini Tanzania,mazungumzo yaliyofanyika makao makuu ya Wizara jijini Dar es salaam.




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni