Mbunge wa Nkenge Balozi Dr. Diodorus Buberwa
Kamala(aliyeshika kisima cha maji) akitazama kisima cha kata Mabale Wilayani
Missenyi ambacho kimeacha kutoa maji. Balozi Kamala ameshauri Mhandisi wa Maji
wa Halmashauri ya Missenyi kukagua kisima hicho.
Jumatano, 4 Januari 2017
BALOZI DR. KAMALA ATEMBELEA KISIMA CHA MAJI CHA KATA MABALE AMBACHO KIMEACHA KUTOA MAJI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni