.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 27 Januari 2017

BARCELONA YATINGA KWA KISHINDO NUSU FAINALI YA COPA DE REY

Timu ya Barcelona imeibuka na ushindi wa magoli 5-2 dhidi ya Real Sociedad na kutinga nusu fainali ya kombe la Copa de Rey kwa ushindi wa jumla wa magoli 6-2.

Barcelona ilipata goli lake la kwanza kupitia kwa Denis Suarez aliyegongeana vyema pasi na Luis Suarez na kisha baadaye Neymar akaangushwa na kuzaa penati iliyofungwa na Lionel Messi.

Luis Suarez aliongeza goli la tatu dakika moja tu kupita baada ya Juanmi kuifungia Real Sociedad goli la kwanza na Da Silva aliifungia Sociedad goli la pili kabla ya Turan kufunga goli la tano la Barcelona.
                       Denis Suarez akiachia shuti la umbali wa yadi 16 na kufunga goli la kwanza
     Neymar akiwa amechezewa madhambi na beki Martinez na kusaidia kupatikana kwa penati
              Luis Suarez akimalizia kilaini pande alilopewa na Lionel Messi na kufunga goli

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni