Rais Donald Trump amepiga simu
kadhaa na kufanya mazungumzo na viongozi wa dunia jana akiwemo rais
Vladimir Putin wa Urusi.
Urusi imesema pande zote mbili
zimeafikiana kupambana na ugaidi wa kimataifa ikiwamo kundi la Dola
ya Kiislam (IS) pamoja na makundi mengine ya kigaidi ya Syria.
Ikulu ya Marekani imesema mazungumzo
hayo yalikuwa ni ya mwanzo mzuri wa kuimarisha mahusiano yaliyoanza
kuyumba.
Rais Trump pia ameongea na viongozi
wa mataifa ya Japan, Ujerumani, Ufaransa na Australia.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni