.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 12 Februari 2017

ALEXIS SANCHEZ ATUPIA MBILI WAKATI ARSENAL IKISHINDA

Alexis Sanchez amefunga mara mbili wakati Arsenal inayofukuzi ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza ikiifunga Hull City iliyo katika hatihati ya kushuka daraja, magoli 2-0.

Katika mchezo huo wenyeji Arsenal walikuwa katika ubora wao na Sanchez aliandika goli lao la kwanza katika dakika ya 34 ya mchezo.

Sanchez alifunga goli la pili katika dakika za majeruhi baada ya kuzawadiwa penati kufuatia Sam Clucas kutolewa nje kwa kuushika mpira wa kichwa uliopingwa na Lucas Perez.
                                      Alexis Sanchez akishangilia baada ya kufunga goli la kwanza
Sam Clucas akipewa kadi nyekundu kwa kuushika mpira na kuifanya Arsenal kupewa penati iliyofungwa na Sanchez 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni