.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 12 Februari 2017

MARTIAL AREJEA DIMABANI NA KUISAIDIA MANCHESTER UNITED KUSHINDA

Manchester United imezidiwa pointi moja na timu iliyonafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu Uingereza wakati Anthony Martial akirejea uwanjani kwa kufunga goli na kusaidia ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Watford.

Manchester United, ambayo sasa imecheza michezo 16 ya Ligi Kuu ya Uingereza bila kufungwa, ilipata goli lake la kwanza pale Martial alipomtengenezea nafasi ya kufunga Juan Mata.

Kipa wa Watford, Heurelho Gomes aliokoa vizuri na kuwanyima nafasi ya kufunga wanchezaji wa Manchester United Paul Pogba pamoja na Zlatan Ibrahimovic.

Hata hivyo But Martial, akishuka katika kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza tangu Januari 15, alifunga goli la pili baada ya kutoka kasi.
   Juan Mata akifunga goli la kwanza la Man Utd akiunganisha krosi ya Anthony Martial
        Kiungo wa Manchester United Paul Pogba akiutuliza kiufundi mpira akiwa angani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni