.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 18 Februari 2017

DWIGHT YORK AKERWA NA KUZUILIWA KUINGIA MAREKANI

Mchezaji wa zamani wa Manchester United Dwight York amesema alijikuta akijihisi kama mhalifu, pale alipokatiliwa kuingia Marekani, siku ya jana.

Yorke, mwenye umri wa miaka 45, amesema alizuiwa kuingia Marekani kutokana na paspoti yake kuwa na mhuri wa Irani, jambo ambalo aliambiwa atalazimia kuomba viza kwanza.

Yorke alikuwa akisafiri kutokea Doha, Qatar kwenda Trinidad and Tobago, ambako ananyumba yake lakini alizuiwa akiwa njiani kuingia Miami, Marekani.
Rais Donald Trump akionyesha agizo alilotea saini la kuzuia kuingia Marekani raia wa Mataifa saba ya Kiislam likiwemo taifa la Iran

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni