.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 13 Februari 2017

LEICESTER CITY YAZIDI KUPOROMOKA KWENDA CHINI LIGI KUU UINGEREZA

Jahazi la mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza, Leicester City, limeendelea kuzama baada ya kupokea kipigo cha magoli 2-0 kutoka kwa Swansea.

Katika mchezo huo, Alfie Mawson, aliifungia Swansea goli la kwanza na kisha baadaye, Martin Olsson, kuipatia goli la pili.

Kwa kipigo hicho Leicester City wapo pointi moja juu ya mstari wa kushuka daraja, huku ikiwa haijafunga goli katika ligi hiyo mwaka huu.
                         Alfie Mawson akiachia shuti lililoandika goli la kwanza la Swansea
Kapteni wa Leicester City, Wes Morgan akiwa ameshika mpira hata hivyo haikutolewa penati

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni