.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 13 Februari 2017

TIMU YA BURNLEY YAIPUNGUZA SPIDI CHELSEA

Timu ya Chelsea imepoteza nafasi ya kuongoza Ligi Kuu ya Uingereza kwa tofauti ya pointi 12 baada ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 na Burnley katika dimba la Turf Moor.

Wenyeji wameshinda Burnley walishinda michezo yao yote minne waliocheza nyumbani, walijikuta wakifungwa goli la kwanza na Pedro.

Wageni Chelsea waliutawala mchezo huo na ilionekana kama wataongeza goli la pili hata hivyo Robbie Brady aliisawazishia Burnley kwa mpira wa adhabu.
                                  Pedro akijipinda na kuachia shuti lililojaa wavuni na kuandika goli
     Kipa wa Chelsea Courtois akiruka pila mafanikio kuzuia mpira uliopigwa na Robbie Brandy

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni