.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 13 Februari 2017

MAJALIWA AKUTANA NA MAOFISA WA MAGEREZA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiongoza kikao kati yake na Maofisa wa Magereza kutoka makao Makuu ya Magereza , pamoja na Makamanda wa Magereza wa Mikoa yote nchini, ofisini kwake mjini Dodoma Februari 13, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Kamishina Mwandamizi wa Magereza na Mkuu wa Magereza wa Mkoa wa Lindi, Tusikile Mwaisabira baada ya kikao chake na Maofisa wa Magereza kutoka Makao ya Magereza na Maofisa Magereza wa Mikoa, kilichofanyika Ofisini kwake mjini Dodoma Februari 13,2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Kamishina Jenerali wa Magereza, Dk. Juma Malewa baada ya kikao chake na Maofisa wa Magereza kutoka Makao ya Magereza kilichofanyika Ofisini kwake mjini Dodoma Februari 13,2017. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani Meja Jenerali Projest Rwegasira. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Jeshi la Magereza Wanawake baada ya kikao chake na Maofisa wa Magereza kutoka Makao ya Magereza kilichofanyika Ofisini kwake mjini Dodoma Februari 13,2017. Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Watalaamu na Wasimamizi wa Mkiradi ya Jeshi la Mgereza, baada ya kikao chake na Maofisa wa Magereza kutoka Makao ya Magereza na Wakuu wa Magereza wa Mikoa kilichofanyika Ofisini kwake mjini Dodoma Februari 13,2017. Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Hakuna maoni :

Chapisha Maoni