.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 22 Februari 2017

MAJALIWA AZUNGUMA NA WATUMISHI NA KUHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MJINI BABABTI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia Mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati kuhitimisha ziara ya mkoa wa Manyara, Februari 22, 2017.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Babati wakati alipowasili kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati kuhutubia mkutano wa hadhara, Februari 22, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya wananchi wa Babati wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati, Februari, 22, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi ya watumishi wa serikali na Halmashauri za mkoa wa Manyara wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Februari 22, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa serikali na Halmashauri za mkoa wa Manyara kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Februari 22, 2017. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dkt. Joel Bendera.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wazee wakati alipoingia kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati, kuhutubia mkutano wa hadhara Februari 22, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wazee wakati alipoingia kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati, kuhutubia mkutano wa hadhara Februari 22, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi ya watumishi wa serikali na Halmashauri za mkoa wa Manyara wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Februari 22, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni