.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 22 Februari 2017

SERIKALI YA KASHMIR YAPIGA MARUFUKU HARUSI ZA MATANUZI

Serikali ya India inayoongozwa na Kashmir imepiga marufuku harusi za gharama kubwa katika eneo hilo.

Sherehe ya upande wa bibi harusi hairuhusiwi kualika watu zaidi ya 500, na kwa upande wa bwana harusi sherehe yao hairuhusiwi kualika watu zaidi ya 400.

Serikali ya Kashmir pia imesema mlo katika harusi haupaswi kuzidi vyakula vya aina saba, ili kuhakikisha kuwa hakuna chakula kinachopotezwa.

Aidha, mbunge mmoja anapanga kuwasilisha pendekezo kama hilo ili kudhibiti harusi za gharama kubwa katika nchi yote ya nchini India.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni