.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Machi 2017

BASI LA KANISA LAGONGANA NA PICK-UP NA KUUWA WATU 13

Watu 13 wamekufa na wengine watatu wamejeruhiwa baada ya basi la kanisa lililokuwa limewabeba watumishi waandamizi wa kanisa kutoka mkutano wa kujitathimini kugongana gari aina ya pick-up nchini Marekani.

Ajali hiyo imetokea jana majira ya saa 12:30 nje kidogo ya Garner State Park, maili 75 magharibi mwa San Antonio, Texas.

Mamlaka za Texas bado hazijaeleza kama wote waliokufa walikuwa kwenye basi hilo la kanisa ama kwenye gari la pick-up. 
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni