.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Machi 2017

CHATU AKUTWA AKIWA AMEMEZA MTU ALIYETOWEKA NCHINI INDONESIA

Mwanaume mmoja aliyetoweka nchini Indonesia amekutwa akiwa amekufa baada ya kumezwa na nyoka aina ya chatu.

Mwanaume huyo aitwae Akbar alitoweka tangu jumapili katika kisiwa cha Sulawesi, baada ya kuondoka nyumbani kwenda kuvuna mafuta ya mzaituni.

Katika kumtafuta mwanaume huyo polisi walimuona nyoka aliyemeza kitu kikubwa na walipomuua na kumpasua wakamkuta mtu ameshakufa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni