.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 1 Machi 2017

KEVIN DURANT KUFANYIWA KIPIMO CHA MRI BAADA YA KUUMIA GOTI

Mchezaji wa Golden State Warriors ambaye anaongoza kwa kufunga pointi Kevin Durant atafanyiwa kipimo cha MRI baada ya kuumia goti lake katika mchezo waliopoteza kwa pointi 112-108 dhidi ya Washington Wizards.

Durant alitoka akichechemea jana baada ya mchezaji mwenzake wa Golden Sate Warriors Zaza Pachulia kumuangukia mguuni.

Kevin Durant ambaye ni Mchezaji Mwenye Thamani kubwa NBA kwa mwaka 2014, alijunga na Golden State Warriors katika msimu huu kwa mkataba uliofikia dola 54.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni