.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 1 Machi 2017

MICHY BATSHUAYI ATAKA KUHAKIKISHIWA NAMBA KATIKA KIKOSI CHA CHELSEA

Michy Batshuayi anajiandaa kuondoka Chelsea katika kipindi cha majira ya joto, iwapo hatoweza kuhakikishiwa mustakabali wake wa baadae Stamford Bridge ikiwemo kucheza katika kikosi cha kwanza.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23, aliyesajiliwa kutoka klabu ya Ufaransa ya Marseille kwa kitita cha paundi milioni 33.1 hajaanzishwa hata katika mchezo mmoja wa Ligi Kuu ya Uingereza katika msimu huu.

Mchezaji huyo raia wa Ubelgiji sasa anataka kuhakikishiwa nafasi ya kuichezea Chelsea katika kikosi cha Antonio Conte, awali alikuwa anahusishwa na kutaka kuhamia timu ya West Ham mwezi Januari.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni