.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Machi 2017

MASHABIKI WAVUNJA MCHEZO WA IVORY-COAST NA SENEGAL DAKIKA ZA MWISHO

Mechi ya kimataifa baina ya Ivory Coast na Senegali imeisha kabla ya muda kutokana na kitendo cha mashabiki kuvamia uwanja.

Refa wa mchezo huo alilazimika kumaliza mpira katika dakika ya 88 kutokana na hali kuwa mbaya kutokana na mashabiki.

Katika mchezo huo mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane alifunga goli kwa mkwaju wa penati, hata hivyo Cyriac Gohi Bi alisawazisha dakika mbili baadaye.
                                Shabiki aliyevamia uwanja akiwa amemrukia Lamine Gassama 
              Shabiki aliyekuwa bila shati akikimbizwa na walinzi baada ya kuvamia uwanjani 
                                    Walinzi wakimdhibiti shabiki aliyekuwa amevamia uwanjani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni