.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 1 Machi 2017

MFALME WA SAUDI ARABIA SALMAN BIN ABDULAZIZ AL-SAUD ATUA INDONESIA

Mfalme wa Saudi Arabia Salman bin Abdulaziz al-Saud amewasili nchini Indonesia akiwa na ndege yake iliyonakishiwa kwa dhahabu katika ziara yake ya kihistoria katika nchi hiyo.

Mfalme huyo ameenda Indonesia akiwa na Mercedes-Benz mbili, Limousines 600 akiambatana na ndege saba na wasaidizi wake wapatoa 1,000.
Walinzi wa Mfalme wa Saudi Arabia Salman bin Abdulaziz al-Saud wakimkinga mvua na miavuli yao
Mfalme Salman bin Abdulaziz al-Saud akiwapungia mkono watu hawapo pichani akiwa na mwenyeji wake rais Joko Wadodo wa Indonesia

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni