.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Machi 2017

NEYMAR, MARCELO NA PHILIPPE COUTINHO WAIPELEKA BRAZIL KOMBE LA DUNIA

Timu ya taifa ya Brazil imekuwa timu ya kwanza kufanikiwa kufuzu kutinga michuano ya kombe la dunia baada ya kupata ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Paraguay.

Katika mchezo huo Neymar, Marcelo na Philippe Coutinho waliifungia magoli Brazil na kumfanya kocha Tite kupata ushindi wa nane mfululizo.

Brazil inaongoza kundi la nchi za Amerika ya Kusini kwa pointi 33 ilizopata katika michezo 14 iliyocheza. 
                       Neymar akishuhudia penati yake ikipanguliwa na kipa Antony Silva
                         Marcelo akifunga goli kwa kuubetua mpira juu ya kipa Antony Sila

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni