.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Machi 2017

BOLOVIA YAENDELEZA UBABE KWA ARGENTINA ILIYOKUWA BILA LIONEL MESSI

Argentina imepata pigo katika mbio za kuwania kufuzu kutinga fainali za kombe la dunia baada ya kukubali kipigo cha magoli 2-0 dhidi ya Bolovia.

Katika mchezo huo Argentina ilimkosa mshambuliaji wao nyota Lionel Messi baada ya kupewa adhabu ya kukosa michezo minne kwa kumtukana mwamuzi.

Adhabu hiyo ya Messi imetokana na kitendo cha kumtukana mwamuzi msaidizi Alhamis katika mchezo walioshinda kwa goli 1-0 dhidi ya Chile.

Juan Carlos Arce na Marcelo Martins waliifungia Bolivia, huku beki wa Everton Ramiro Funes Mori alijikuta akitolewa nje kwa machela baada ya kuumia.
                                                Mchezaji Juan Carlos Arce akishangilia goli alilofunga
                         Marcelo Martins akiupiga mpira kwa kichwa na kufunga goli la pili

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni