.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Machi 2017

RONALDINHO AJITOSA KATIKA MUZIKI KWA KUACHIA TRAKI YA KWANZA

Mchezaji nguli wa Brazil, Ronaldinho ameamua kuonyesha kipaji chake kigine mbali na mchezo wa soka ambao ndio uliomtangaza jina lake.

Ronaldinho ambaye bado hajatangaza kujiuzulu soko licha ya kutocheza tangu mwaka 2015, sasa anajifua vilivyo katika ulimwengu wa mziki.

Nyota huyo tayari amejitambulisha katika ulimwengu wa mziki na traki yake ya kwanza iitwayo 'Sozinho' ambayo ni ya miondoko laini ya samba.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni