.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 31 Machi 2017

TIMU YA WANAWAKE YA MANCHESTER CITY YATINGA NUSU FAINALI

Timu ya Wanawake ya Manchester City, imekuwa timu ya kwanza ya Uingereza kutinga nusu fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya tangu mwaka 2014 baada ya kuifunga Fortuna Hjorring.

Mabingwa hao wa Supa Ligi, waliwafunga goli 1-0, timu hiyo ya Denmark katika mchezo wao wa kwanza na kuongeza ushindi wao kwa kufunga tena kwa goli la Lucy Bronze.

Caroline Rask alipoteza nafasi nzuri ya kufunga huku Mchezaji Bora wa Mwaka Duniani Carli Lloyd akipiga shuti lake nje.
                  Mpira wa kichwa uliopigwa na Lucy Bronze ukimshinda kipa na kujaa wavuni 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni