.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 4 Aprili 2017

FLOYD MAYWEATHER AMPA ZAWADI YA MERCEDES MTOTO WAKE KATIKA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Bondia Floyd Mayweather amempatia mtoto wake wa kiume Zion zawadi ya gari aina ya Mercedes C-Class Coupe yenye thamani ya paundi 31,000.

Zawadi ya gari hilo la kifahari imetolewa na Floyd Mayweather katika sherehe ya kuzaliwa ya Zion ambaye ametimiza miaka 16.

Bondia huyo mstaafu mpenda matanuzi pia aliwahi kumnunulia Mercedes mtoto wake mwingine wa kiume Koraun katika siku yake ya kuzaliwa mwaka jana.
                                    Zion Maywether akiwa katika picha ya pamoja na rafiki zake
                                   Rapa Young Thug akitumbuiza katika pati ya Zion Maywether 
                  Zion Maywether akirusha dola na rafiki yake kwa mtindo wa Chop my Money

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni