Mama Salma Kikwete akiapa kuwa
mbunge, bungeni mjini Dodoma Aprili 4, 2017. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Spika wa bunge, Job Ndugai
akimwapisha Mama Salma Kikwete kuwa mbunge, bungeni mjini Dodoma
Aprili 4, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimpongeza Mama Salma Kikwete baada ya kuapishwa kuwa mbunge,
bungeni mjini Dodoma Aprili 4, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni