.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 25 Aprili 2017

JIMBO LA ARKANSAS LATEKELEZA ADHABU YA KIFO KWA WAFUNGWA WAWILI

Jimbo la Arkansas limewatekelezea adhabu ya kifo wafungwa wawili kwa siku moja waliohukumiwa adhabu ya kifo baada ya Mahakama ya Juu kukataa pingamizi lao la dakika za mwisho.

Wafungwa hao Jack Jones na Marcel Williams wote walihukumiwa adhabu ya kifo kwa makosa ya ubakaji na mauaji waliyoyatenda katika miaka ya 1990.

Jimbo la Arkansas limepanga kutekeleza adhabu ya kifo kwa watuhumiwa nane baada ya kubaini kuwa dawa ya sindano wanayotumia kuulia inaisha muda wake wa matumizi mwisho wa wezi huu.

Hii ni mara ya kwanza kutekelezwa kwa adhabu ya kifo kwa wafungwa wawili katika siku moja tangu kupita miaka 17 nchini Marekani.
                                         Kitanda maalum kwa ajili ya kutekelezea adhabu ya kifo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni