Mwanamuziki huyo alijisikia kuwa
mgonjwa mno mara baada ya kutoka katika ziara yake ya Amerika ya
Kusuni alipowasili Uingereza akitokea Santiago nchini Chile na
kupatiwa matibabu ya dharura.
Madaktari walifanya kazi ya ziada
kutibu maambukizi hayo ambapo Sir Elton alilazimika kulazwa kwa siku
12, ambapo siku mbili kati ya hizo alikuwa katika chumba cha wagonjwa
mahututi na kuruhusiwa kutoka Aprili 22.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni