.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 30 Aprili 2017

LUIS SUAREZ ATIKISA NYAVU MARA MBILI BARCELONA IKIBAKIA KILELENI MWA LA LIGA

Timu ya Barcelona imeendelea kukaa kileleni mwa ligi ya La Liga wakati Luis Suarez akifunga mara mbili na kuihakikishia ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Espanyol.

Uzembe wa Jose Manuel Jurado kupiga pasi ya nyuma iliyomkuta Suarez, aliyeachia shuti lililompita kipa Diego Lopez, uliifanya Barcelona kupata goli la kwanza.

Ivan Rakitic aliongeza goli la pili kwa Barcelona kabla ya Suarez tena kutumia vyema makosa ya Espanyol kufunga goli la tatu.
    Luis Suarez akiuwahi mpira wa pasi mbovu ya nyuma ya  Jose Manuel Jurado na kufunga goli

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni