.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 1 Aprili 2017

SERIKALI YA AFRIKA KUSINI KATIKA MPASUKO BAADA YA KUFUKUZWA WAZIRI WA FEDHA

Naibu rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameelezea kufukuzwa kazi kwa waziri wa fedha Pravin Gordhan kama ni jambo lisilokubalika kabisa.

Kufukuzwa kwa waziri huyo usiku wa Alhamisi kulisababisha kuporomoka kwa thamani ya fedha ya Afrika Kusini randi kwa asilimia 5.

Bw. Gordhan alikuwa anaonekana kuwa ni mpambanaji wa rushwa katika utawala ambao umekuwa ukikabiliwa na wimbi la kukosolewa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni