.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 1 Aprili 2017

MASHABIKI WENGI WA ARSENAL WAPIGA KURA YA KUTOMTAKA WENGER

Shinikizo la kumtaka kocha Arsene Wenger aondoke Arsenal katika majira ya joto limezidi kupamba kasi kufuatia kupigwa kura nyingi za mashabiki wa timu hiyo zinazomtaka afungashe virago.

Mashabiki wa Mfuko wa Arsenal waliwauliza wanachama wa klabu hiyo iwapo wanaunga mkono hoja ya kumpa mkataba mpya Wenger katika majira ya joto na matokeo asilimia 78 walipiga kura ya kukataa.


Kocha Arsene Wenger anatarajiwa kusaini mkataba wa kuendelea kuinoa Arsenal kwa kipindi cha miaka miwili licha ya ongezeko la shinikizo la mashabiki kumtaka aachie timu hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni