Arsenal imemaliza rekodi ya
Manchester United ya kucheza michezo 25 bila ya kufungwa katika Ligi
Kuu ya Uingereza na kuendeleza matumaini ya kumaliza katika nafasi
nne za juu.
Baada ya kumaliza kipindi cha kwanza
bila kufungana, Granit Xhaka, alifungua goli la kwanza kwa shuti la
mbali lililompita juu kipa David de Gea.
Arsenal iliongeza goli la tatu
dakika tatu baadaye baada ya Danny Welbeck kuupiga mpira kwa
iliyotokana na krosi ya Alex Oxlade-Chamberlain.
Granit Xhaka akiachia shuti na kufunga goli la kwanza
Danny Welbeck akiwa ameupiga mpira kwa kichwa na kuzaa goli la pili
Katika mchezo wa kwanza wa awali
Liverpool ilitoka sare tasa na Southampton huku James Milner akikosa
penati na kusababisha pigo katika mpio za kumaliza nafasi nne za juu.
Kipa Ben Foster akipangua mpira wa penati iliyopigwa na James Milner





Hakuna maoni :
Chapisha Maoni