.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 2 Mei 2017

BOSI MPYA SHIRIKA LA POSTA AJA NA MATUMIZI YA TEHAMA

bo1
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Deo Kwiyukwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu ujio mpya wa Posta ya Kidijitali ofinini kwake leo Jijini Dar es Salaam.
bo2
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Deo Kwiyukwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ujio mpya wa Posta ya Kidijitali ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam.
bo3
Afisa Mtenda Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania aliyemaliza muda wake akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari wakati wa mkutano wa waandishi hao na mrithi wake Deo Kwiyukwa (hayupo pichani) leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Idara ya Fedha na Uhasibu Cyprian Mugemuzi. Picha na: Frank Shija – MAELEZO

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni