.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 10 Mei 2017

JUVENTUS YATANGULIA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Juventus imetinga kwa mara ya pili fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, katika misimu mitatu kwa ushindi mzuri wa magoli ya jumla 4-1 dhidi ya Monaco.

Ikiwa ilishapata ushindi wa magoli 2-0, timu hiyo ya Italia ilipata goli la kwanza katika mchezo wa jana kupitia Mario Mandzukic baada ya mpira alioupiga kwa kichwa kuokolewa.

Dani Alves aliongeza goli la pili baada ya kuunasa mpira uliopigwa ngumi na kipa Danijel Subasic, huku Monaco ikipata goli pekee kupitia kwa kinda Kylian Mbappe.
                                                  Mario Mandzukic akiifungia Juventus goli la kwanza
                                    Dani Alves akijipinda na kuachia shuti lililoandika goli la pili 
                   Kylian Mbappe akifunga goli kwa shuti la chini lililompita kipa Buffon

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni