.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 10 Mei 2017

FIFA YACHUNGUZA UHAMISHO WA MCHEZAJI PAUL POGBA

Uhamisho wa Paul Pogba, ulioweka rekodi dunia kutoka Juventus kuja Manchester United mwaka jana unafanyiwa uchunguzi na Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA).

Shirikisho la Soka Duniani limeiandika klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Uingereza kutaka ufafanuzi juu ya makubaliano yalivyofikiwa.

Fifa inatilia shaka namna kitita cha paundi milioni 89.3 cha uhamisho wa Pogba, kilivyogawanywa kwa wahusika.

Hii ni baada ya kubainishwa na Sportsmail, kuwa wakala wake Mino Raiola alipata paundi milioni 41.
                                                                Wakala wa Paul Pogba Mino Raiola

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni