.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 10 Mei 2017

KIONGOZI MPYA WA KOREA KUSINI MOON JAE-IN AAHIDI KUSHUGHULIKIA UCHUMI

Kiongozi mpya wa Korea Kusini Moon Jae-in ameapishwa na kuahidi kushughulikia uchumi wa nchi hiyo na uhusiano na Korea Kaskazini, katika hotuba yake ya kwanza kama rais.

Bw. Jae-in amesema pia kwamba yupo tayari kuitembelea Korea Kaskazini utakapowaidia wakati muafaka katika kufungua ukurasa mpya baina ya mataifa hayo majirani.

Rais Jae-in ni mwanasheria wa zamani wa haki za binadamu na ni mtoto wa kiume wa Mkimbizi wa Korea Kaskazini ambaye anafahamika kwa misimamo yake huru.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni