.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 10 Mei 2017

SENETA LARISSA WATERS AWA MWANAMKE WA KWANZA KUNYONYESHA BUNGENI

Seneta mwanamke wa Australia Bi. Larissa Waters ameweka historia kwa kuwa mwanasiasa wa kwanza kumnyonyesha mtoto wake ndani ya bunge la taifa la nchi hiyo.

Bi. Waters kutoka chama cha mrengo wa kushoto cha Greens alimnyonyesha bungeni mtoto wake wa kike wa miezi miwili aitwae Alia Joy wakati wa upigaji kura siku ya jana.

Bunge la nchi hiyo liliungana na Seneti mwaka jana kuruhusu wabunge na wawakilishi wanawake kunyonyesha lakini kulikuwa hakuna mbunge hata mmoja aliyewahi kufanya hivyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni