.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 26 Mei 2017

MUASISI WA FACEBOOK MARK ZUCKERBER APEWA SHAHADA YA HESHIMA KATIKA CHUO ALICHOACHA

Muasisi wa Facebook Mark Zuckerber amerejea katika Chuo Kikuu cha Harvard kutoa hotuba katika mahafali na kupatiwa shahada ya heshima.

Tajiri huyo wa nne kwa utajiri duniani anathamani ya dola bilioni 62.3 aliacha masoma katika chuo hicho na kuamua kuanzisha mtandao wake huo maarufu duniani.

Bw. Zuckerberg ametoa wito kwa wanafunzi wa chuo hicho kutoishia kutengeneza ajira tu bali pia kubadili mustakabali wa utoaji huduma.
   Muasisi wa Facebook Mark Zuckerber akiongea na wahitimu wa Chuo Kikuu cha Harvard

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni