.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 9 Mei 2017

MVUA ZINAZONYESHA KENYA ZALETA MAAFA NA KUATHIRI MAJENGO

Majengo ambayo thamani yake haijajulikana yameharibika nchini Kenya kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwenye kaunti kadhaa za nchi hiyo.

Pia kumekuwepo na hofu ya kutokea maporomoko ya ardhi na tayari wakazi wa maeneo yenye maporomoko wamehamishiwa mahala salama.
`
Wakazi wa maeneo ya milimani ya Pokoti Kusini, wametakiwa kuwa waangalifu juu ya uwezekano wa kutokea mafuriko na maporomoko.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni