.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Juni 2017

ATCL YAONGEZA SAFARI ZAKE KATI YA DAR ES SALAAM NA DODOMA

Kampuni ya Ndege Nchini (ATCL) hivi karibuni imeongeza safari zake kati ya Dar es salaam na Dodoma kutoka mbili hadi tatu kwa wiki. Pichani, abiria wakielekea kupanda ndege ya Bombandier Q 400 ya Kampuni hiyo kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Juni 7, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni