Timu ya Paris Saint-Germain inataka
kumtoa, Angel Di Maria kwa Barcelona, pamoja na kutoa kitita cha
puandi milioni 195, ili kufanikisha uhamisho utakaovunja rekodi wa
Neymar.
Imeripotiwa kuwa mchezaji huyo wa
zamani wa Manchester United atatumiwa kama chambo cha kufanikisha
mpango wa kumnunua Neymar.
Timu hiyo ya Ufaransa inataka
kutumia mbinu hiyo ili kukwepa kifungu cha kutoa kitita kwa Barcelona
iwapo watamuuza Neymar kwa timu nyingine na kulipia kodi ya paundi
milioni 62.
Angel Di Maria kutumika kama chambo na PSG ili kumnasa Neymar
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni