.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 19 Julai 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZIKO YA LINAH GEORGE MWAKYEMBE WILAYANI KYELA, MBEYA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe wakiwa wamebeba shada la maua tayari kuliweka katika kaburi la mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, katika mazishi yaliyofanyika makaburi ya familia katika kijiji cha Ikolo wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Mhe. Amos Makalla akiweka shada la maua katika kaburi la mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, katika mazishi yaliyofanyika makaburi ya familia katika kijiji cha Ikolo wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo
Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akiweka shada la maua katika kaburi la marehemu mkewe, Linah George Mwakyembe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe wakiweka shada la maua katika kaburi la mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, katika mazishi yaliyofanyika makaburi ya familia katika kijiji cha Ikolo wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo
Jeneza lenye mwili wa mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe likiandaliwa kushushwa kaburini
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ( kulia ), Mkuu wa mkoa Mbeya, Mhe. Amos Makalla na mke wa Waziri Mkuu wakifuatilia shughuli za mazishi ya mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, katika kijiji cha Ikolo wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo. Picha zote na Haroub Kabwe


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni