Katika mchezo huo uliochezwa kwenye
dimba la Wembley wageni Chelsea walikuwa wa kwanza kwa goli
lililofungwa kwa shuti la mbali na Marcos Alonso.
Tottenham walipata goli la
kusawazisha baada ya Michy Batshuayi aliyetokea benchi kujifunga
akijaribu kuokoa kwa kichwa mpira uliopigwa na Christian Eriksen,
lakini Alonso akaongeza goli la pili.
Shuti la mbali la kiufundi lililopigwa na Marcos Alonso likijaa wavuni na kuiandikia Chelsea goli la kwanza
Michy Batshuayi akijifunga goli katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na
Christian Eriksen
Christian Eriksen
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni