Nyota wa Brazili Neymar anatarajiwa
kutambulishwa Paris Saint-Germain baada ya uhamisho ulioweka rekodi
wa paundi milioni 198 utakao kamilika wiki hii baada ya kufanyiwa
vipimo.
Mchezaji huyo amewasili Ufaransa
katika mji wa Portugal akiwa na ndege binafsi jumatano baada ya
kuhudhuria kwa muda mazoezi ya Barcelona kuwaga wachezaji wenzake.
Neymar atatia saini ya kujifunga
miaka mitano katika dili la mshahara wenye thamani ya paundi 596,000 kwa wiki baada ya
kukatwa kodi ya paundi milioni 45 kwenye uhamisho.
Mbrazili Neymar akishuka kwenye gari kuelekea kwenda kufanya vipimo
Neymar akielekea kwenda kufanya vipimo kukamilisha uhamisho wake
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni