Alvaro Morata amefunga magoli matatu
yaani hat-trick na kuisaidia Chelsea kuifunga Stoke City magoli 4-0
katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza.
Kikosi hicho cha Antonio Conte
kilipata goli la kwanza kupitia kwa Morata, kisha Stoke City
wakaizaiwadia tena Chelsea goli la pili lililofungwa na Pedro.
Morata akafunga goli la tatu
akikimbia umbali wa nusu uwanja na kumalizia vizuri kwa kuutumbukiza
mpira pembeni na kisha akakamilisha hat-trick.
Mchezaji mpya wa Chelsea Alvaro Morata akifunga moja ya magoli yake matatu katika mchezo huo
Kipa wa Chelsea Courtois akianguka vibaya baada ya kugongana na beki wake Garry Cahill
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni