Vinara wa Ligi Kuu ya Uingereza
Manchester City ilibidi wawe wastahamilivu kabla ya kufanikiwa
kuinyong'onyeza Crystal Palace na kuibuka na ushindi wa magoli 5-0.
Manchester City ilibidi ingoje hadi
karibu mwisho wa nusu ya kwanza pale Leroy Sane kwa kufunga goli safi
lililoamsha ari ya ushindi.
Raheem Starling aliifungia
Manchester City magoli mawili, kabla ya Sergio Aguero kutupia goli na
nne na Fabian Delph akifunga goli la tano.
Leroy Sane akishangilia baada ya kufunga goli la kwanza la Manchester City
Raheem Sterling akifunga moja ya magoli yake kati ya mawili aliyoifungia Manchester City
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni