Shambulizi kali lililofanywa na
Islam Slimani limeisaidia Leicester City kupata ushindi katika dimba
la King Power dhidi ya Liverpool na kutinga raundi ya nne ya kombe la
Carabao.
Mshambuliaji huyo raia wa Algeria
shuti lake la kushoto lilijaa katika kona ya juu ya lango la goli
baada mchezaji aliyetokea benchi Shinji Okazaki kuifungia goli la
kwanza.
Magoli hayo mawili yalipatikana
katika kipindi cha pili baada ya Liverpool kutawala kipindi cha
kwanza huku Philippe Coutinho kuonyesha kiwango kizuri kabla ya
kupumzishwa.
Mshambuliaji Shinji Okazaki akiifungia Leicester City goli la kwanza
Islam Slimani akiachiashuti lililoza goli la pili la Leicester City
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni