.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 29 Oktoba 2017

KOCHA ARSENE WENGER AANZA KUCHONGA BAADA YA USHINDI

Kocha Arsene Wenger ameanza kuchonga kwa kusema kuwa kikosi chake cha Arsenal kimewaumbua wakosoaji baada ya kutokea nyuma kufungwa na kuibuka na ushindi katika michezo mitatu mfululizo.

Aaron Ramsey aliifungia Arsenal goli la ushindi dhidi ya Swansea, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza ambao Sam Clucas aliifungia Swansea goli la kwanza lakini Sead Kolasinac akaisawazishia Arsenal.

Katika kuonyesha upambanaji Arsenal ilifungwa kwanza goli na Rverton na Swansea katika michezo ya ligi, na pia kufungwa kwanza na Norwich katika kombe la Carabao lakini wakaibuka na ushindi.
   Sead Kolasinac akiachia shuti kali lililojaa wavuni na kuiandikia Arsenal goli la kusawazisha
       Aaron Ramsey akiifungia Arsenal goli la ushindi katika mchezo huo kwenye dimba la Emirates

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni